Pages

Subscribe:

Search This Blog

Loading...

Saturday, July 14, 2012

Hii ni Tour yangu nzima niliyoifanya Masasi....

Mpango mzima ulianzia kwenye P.A






ANGALIA KIPANDE HIKI CHA VIDEO,WASAFI WALIPOINGIA STEJINI


Watu wangu wa masasi walikuwa na mzuka sana...






Securty walikuwa na kazi ya ziada sana,kuwazuia watu kutokupanda stejini
coz kila Fans alitakakuimba,kucheza,kupiga picha na mimi kwa wakati mmoja. 
SINA LA KUSEMA,JIONEE MWENYE VIDEO HII KISHA UNIAMBIE WEWE...














JIONEE JINSI SECURTY ALIVYONUSULIKA KUPIGWA NA FANS,BAADA YA KUMZUIA HASIPANDE STEJINI......



Mzuka umeishapanda natamani nitoe nguozote...

Jamani,sijui huyu dada alitaka kufanya nini mmmmh!
Ilinibidi nitumie nguvu za ziada,kujitoa kwenye mikono ya Mrembo huyu



Ilibidi Polisi waingilie kati na kuwasaidia security
baada ya kuonesha kuzidiwa nguvu na Fans...
Baada ya show.....hapa niko hoi kinoma
Namshukuru sana Mzee Mustapha,Mkurugenzi wa Emirates Hall
kwa kusababisha Wasafiii kufanikisha show hiyo...

Thursday, July 12, 2012

Diamond's Performance in Ziff Festival Zanzibar


Hapa general Diamond nikiingia ukumbini na full Security toka kwa jesh la polisi la  Zanzibar
Jeshi zima la Wasafiii likiwa tayari kabisa kwa kui'vunjavunja stage
Before kwenda stage ikabidi kwanza nifanye interview na Capital Tv..

Eb niambie huyu bint wa kiAsia  alovaa nguo ya pink umemuona wapi..?
Skuzote kabla ya kufanya chochote napendaga kumtanguliza mwenyezi Mungu mbele..
na naamini ndio nguzo yangu pekee na ndio inayonifanya hata niwe hapa nilipo

HIVI NDIVYO UNYAMA ULIVYOANZA KWENYE STEJI,JIONEE JINSI FANS WALIVYOTUPOKEA


On Stage sasa





Huu ndio baadhi ya umati ulioudhuria katika show yangu ya Ziff Festival Zanzibar
Wakati mwingine huwa nahisi kama mashetani yamenishika na kujikuta nalia kweli stejini
Mi hapa sitii neno....Lol!




Wanasema music ni moja ya kazi amabayo licha ya kua uko kazini ila inakupa burudani pia wakati uifanyapo kazi hio


 Nilikua kama Cristian Ronaldo napiga miguu yote miwili kuimba na Piano Pia
Wanasema gym ni moja ya kitu muhim sana kwa mwanamuziki, hufanya hata ukiwa stage ukivua shati upendeze na kuvutia mbele za watu... do you think it's true?

Ma baby say's Mgongo wangu ni moja ya kitu kinachomfanya Anipende sanaaaaaaaaa......

Huyu ndiye  aliyekua akiscratch kwenye timetable wakati Niko kwa stage... na kwa taarifa zilizo chini ya Carpet ni kwamba tuko chini kimazungumzo Soon wenda akatangazwa rasmi kua ndio Official DJ wa Diamond Platnumz Baby


Niwashkuru jeshi zima la Polisi la Zanzibar na security wote walokua wakihakikisha usalama juu yangu na team yangu nzima ya Wasafi


Mabinti sasa na Diamond wao...Maskini ya mungu wakati wengine nawaoneaga hadi huruma wakitolewa na kusukumwa  na hata wengine kupigwa na ma Security lakini sku zote wamekua wakoradhi wafanywe chochote lakini wahakikishe hata wananigusa na ikiwezekana kupiga picha kabisa na mimi



Dha! maskini hawakutaka hata niingie kwenye gari walipenda hata nibaki japo tuongee mawili matatu lakini ndio hivyo tena  management haikuniruhusu....shaaaaaaaaaaaa...! nikasepa

Diamond Videos

Loading...